Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kwaresma sahiviYaan hiii mechi ilikua ipigwe saa nne Asubuh, nmeisogeza mpaka saa kumi 🤣🤣🤣
Utuliege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaresma sahiviYaan hiii mechi ilikua ipigwe saa nne Asubuh, nmeisogeza mpaka saa kumi 🤣🤣🤣
Hapo kwenye thermostat kuna range 3 labda umeweka ya baridi kidogo weka medium uoneTime range ilinipa shaka, awali haikuwa hivyo. Nimeamua kulizima kabisa nitaliwasha baada ya ubaridi kuisha nione shida ni nini? Nimechukuwa maamuzi haya baada ya kusoma comments kadhaa
Hahahaha kwendraaa😂😂😂 nna alej na magari
Sasa naaanzia wapi kuyapanda mpk nipige na picha.
Na kwanini uedit? Ulishindwaje kupiga moja kwa moja kilichokusudiwa?
Hiyo simu yako ina shida gani? 😂😂
Kiuhalisia kinatakiwa kirange kwenye namba ngapi?Hapo kwenye thermostat kuna range 3 labda umeweka ya baridi kidogo weka medium uone
Acha tu🤣🤣🤣 basi Kuna siku akaja shoga angu, akanambia shoga nifungue friji, nikamwambia fungua🤣 Kuna siku tupo kibaruani akaropoka Kuna watu wana mafriji na juisi hawanywi.....nilichokaa🤣🤣🤣😂😂😂 umejaza maji na juice ya machungwa
Na mabamia🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Akijitahidi sana kajaza Maharage, alochemsha juzi kilo mbili nzima kajaza 🤣🤣
Sasa huo mtambaa wa pink hapo utoe.🤣🤣🤣Weeee kitu la Hisense Inch 63 , linaanzia Mliman City mpaka Charambe 🤣🤣
View attachment 2540575
Unajaziwa frijiiii , alafu na LiTV hiloo ...
Nangoja niongezee na DSTV Mbwa Nyinyi , mtanikomaa 🤣🤣🤣
Mafriji yakipatwa na msiba huwa na hii shidaLa kwangu upande wa Fridge halina ubarid kabisa,ila upande wa Frizer kule juu liko poa kabisa..ni takribani wiki sasa. Kama kuna fundi anisaidie changamoto ni nini.
Anafunikia deki yake ya kuangalia mimuvi iliyotafsiriwaSasa huo mtambaa wa pink hapo utoe.🤣🤣🤣
😂😂😂😂 hata ye akiwa nalo anaweza kusahau kutengenezaAcha tu🤣🤣🤣 basi Kuna siku akaja shoga angu, akanambia shoga nifungue friji, nikamwambia fungua🤣 Kuna siku tupo kibaruani akaropoka Kuna watu wana mafriji na juisi hawanywi.....nilichokaa🤣🤣🤣
Unamaanisha nini?Mafriji yakipatwa na msiba huwa na hii shida
Jamaaan , ka Baby Mama kangu hakoo na vitambaaa vyake Kwan mie najali sana vitambaaa 🤣🤣Sasa huo mtambaa wa pink hapo utoe.🤣🤣🤣
Tablet umeweka ukutaniWeeee kitu la Hisense Inch 63 , linaanzia Mliman City mpaka Charambe [emoji1787][emoji1787]
View attachment 2540575
Unajaziwa frijiiii , alafu na LiTV hiloo ...
Nangoja niongezee na DSTV Mbwa Nyinyi , mtanikomaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha I want vayolensi 🤣🤣Jamaniiiii 😂😂😂
Hiii vayolensii ni kali sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Khaaaaaa ila Kuna watu 🤣Tablet umeweka ukutani
We jamaa
Achana na umemeKwa wastani wa dk mbili Hilo ni tatizo. Ingekuwa dk 15/30 ingekuwa sawa. Hapo km sio tatizo la friji basi ni low voltage ya umeme unaotumia. Jaribu kuliwasha usiku wa manane watu wakiwa wamelala maana muda huo matumizi ya umeme huwa madogo maana watu wanakuwa wamezima vitu vyao. ukikuta tatizo ni Hilo basi nunua stabilizer. Hapo kesi kwisha.
🤣🤣🤣🤣 Kwamba naweee umekitulizaKwaresma sahivi
Utuliege
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Achana na umeme
Firiji limepata shida ya saikoloji