From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Mwandishi J kwayu ni mwehu, leo ujinga wake ukatumike kufundishia? La saba mwenyewe alifeli akaenda kusoma private
Kama alifeli akaenda kusoma private shida iko wapi?! Hakumaliza masomo?! Hakupata qualification?! Huenda ana mafanikio kuzidi waliofaulu na kumtangulia mwanzo
 
Mbona kama hawajiamini hivyo wamekaa kimchongo sana kama wanaoga nje
 
Kabla sijasoma kitabu kimefafanua hii bei ya unga na Michele saa hivi?
 
Chato hiyo hiyo ilipokuwa nyumba kimaendeleo mbona hamkuandika kitabu kuwa IPO nyumba sana kimaendeleo?
 
Ilitakiwa pia kijumuishe mauaji ya kinyama na mateso dhidi ya waandishi wa habari, wanaharakati na wanasiasa wa mlengwa wa kushoto yaliyotekelezwa na uongozi wake
 
Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.

Hongereni watunzi
Kuuhusisha uzalendo na awamu ya 5, kunatia mushkeli wa ukweli wa unachoongea.
 
Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.

Hongereni watunzi
Wewe masikini mwenzangu endelea kuhubiri uzalendo wakati wenzetu wanaendelea kulamba asali kupitia uzalendo wangu na wa kwako.
 
Kwa mamlaka nisiyonayo naagiza kitabu hiki kitumike mashuleni tuachane na kina Ngoswe walopitwa na wakati....
Lissu alisema "tumepata kiongo-zi wa ajabu haijawahi kutokea" mafurukuzenze hayakuelewa namengine Hadi Leo hayaelewi/yanajidai hayaelewi
Ndugu usilalamike sana kuhusu Magu,najua alikutumbua na vyeti vyako fake,Mama kasema wote wenye vyeti fake anawarudisha tena kazini na ma fake yenu ili muendeleze tena usanii wenu wa upigaji!!
 
Historian ndo kitu gani? Huko Chato hakuna watu? Hayo maendeleo alopeleka hawastahili? Hebu kuweni na akili sometimes.
Umenikumbusha kitu,zamani wakati ATM machine zinaanza kupelekwa nje ya mji Kama kule Mbagala kuna baadhi ya watu walikua wanashangaa sana,eti watu wa Mbagala na ATM machine wapi na wapi!? Leo hii ATM machine zipo kila mahali, na hayo ndiyo maendeleo yenyewe!!
 
Si naona unajiliza sana uhuni wa dhalimu ukiwekwa hadharani.
Ndio hisia zako zinavyokwambia hivyo? Halafu mie nilidhani huo uhuni wake ulikuwa hadharani kila mtanzania na dunia inajua kumbe sivyo, sasa mnamdananisha vp na Idd Amini na Hitler?
 
Ukiuliza kwanini fedha nyingi zilipelekwa Chato utajibiwa kwani Chato ipo Sudan.

Matendo ya Magufuli na kauli zake za kifedhuli ikiwemo ile aliyoitoa kwa Waanga wa tetemeko la ardhi Bukoba ni sababu tosha ya kutengeneza Katiba mpya.

Katika kipindi cha miaka 5 Magufuli alipendelea Wilaya yake ya Chato kuliko kitu chochote.
 
Upo sahihi kabisa. Wasomaji tupo. Tutavinunua vyote na kuvisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…