From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

Mwamba Bado yu hai hajafa ndo maana anatisha watawala na wahuni wote bajeti kwa ajili yake ipo na itakuwepo maana Bado yupo hai
 
Umekisoma kitabu? Au unajibu hoja usiyoijua?
 
Nimefurahi sana kusikia kitabu kimeandikwa kuhusu mtu mwovu Magufuri.

Nafikiri kama vita vya wenyewe Kwa wenyewe vitatokea basi kaburi lake tutaenda kulilipua kama kulipiza kisasi kwa watu walioonewa kipindi chake.

Alikuwa mwovu fedhuri sana

Aendelee kuungua motoni na aongezewe moto.

Mungu tutaendelea kukushukuru kwa tendo kuu la kumuua huyo mwovu. Leo nchi yetu ingekuwa na wakimbizi kibao.
 
Kila watu waandike kitabu chao.

Maisha yako ndio kitabu chako.
 
Yaan watu wazima Tena wazee na akili zao wanapoteza muda mwingi kwa kufanya vitu vya kijijnga na kipumbavu.Ngurumo kwa umri ni Mzee ,lakin anafanya ujinga mwingi.Sijui maisha yake atayatengeneza lini.
Hayatengeneze kwaninkaja kuishi milele hps duniani wapuuzi kma magu ndio walijua wataishi milele wakaona watuibie
 
Hakika jiwe alikuwa dikteta!
 
Sadness, twende na Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…