Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Mnajidai hamjaonana siku nyingi,au mmefukuzwa kwenye zile korido zenu Pendwa🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajidai hamjaonana siku nyingi,au mmefukuzwa kwenye zile korido zenu Pendwa🏃🏃
Kitafaa kufundishia shule za Zanzibar, Mtama, Chalinze, Bumbuli na Singida.Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.
Hongereni watunzi
Ila title tu inavutia.Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.
Hongereni watunzi
Mwandishi J kwayu ni mwehu, leo ujinga wake ukatumike kufundishia? La saba mwenyewe alifeli akaenda kusoma privateCha ajabu Mashule ya kimataifa yaliyopo nchini watakifanyia tathmini na huenda wakakitumia ila mazwazwa watamfanyia figisu mwandishi na kukitupilia mbali hicho kitabu kwa UPUMBAVU wao na chuki binafsi.
Hii rangi ina matatizo sana hii!
Sioni na kwa njia gani unaweza kuwaita waandishi hawa UchwaraKiukweli nilitokea kumchukia sana hayati Magufuli hasa kwa mambo 'binafsi' hata kabla hajawa rais!
Ila pamoja na yote Magufuli alikua ana afadhali ukimlinganisha na Kikwete au Samia tuongee tu kwa kumtendea haki.
Ni nani hakupapendelea kwao nchi hii?
Nyerere na Mara? Nyerere na akina Butiku?
Mwinyi na Zanzibar/Mkuranga?
Mkapa na kusini?
JK?
Pili kuna haja gani ya kutumia rasilimali kubwa hivyo kuchapisha kitabu chenye maudhui yasiyo na msaada? Lengo ni kujifunza? Kama ni kujifunza si tunayo historia ya Gbadolite huko Zaire sasa DRC? Nani ana fadhili hayo na kwa maslahi gani?
Magufuli ni lost case kwa sasa haya hayatusaidii.
Mwisho tuwe makini sana na waandishi uchwara maana huu ni ulaji unatafutwa kwa mtu na ni njia ya kututoa kwenye reli.
Shaaban Robert ana digrii ngapiMwandishi J kwayu ni mwehu, leo ujinga wake ukatumike kufundishia? La saba mwenyewe alifeli akaenda kusoma private
Mkuu, umechanganya ID, Mimi ni chiembe
Hakuna kitabu kisichotaja mwandishi wake labda mleta mada aamue kutubania jina la mwandishi tu.Title ya Kitabu inaonesha hakuna mwandishi hapo!
Vipi mbona unawafokea wanakorido wenzio 🤔Kinunue wapelekee babako na mamako wawe wanakisoma wakiwa chumbani
Mumeo amesharudi? Nakuona tu unadanga hapa JF, hizi ni dalili imekaribia kulambwa talakaKinunue wapelekee babako na mamako wawe wanakisoma wakiwa chumbani
Wezi nyie mnafitahia jiwe kutanguliaKwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.
Hongereni watunzi
Kwani hata nyie kwa nyie mlisha gawika,au wengine tayari wapo umoja party na wengine 🍀Mumeo amesharudi? Nakuona tu unadanga hapa JF, hizi ni dalili imekaribia kulambwa talaka
Huyo hatumjui, huyo ni sehemu ya wahuni tu ambao wanachujwa kwa kasiKwani hata nyie kwa nyie mlisha gawika,au wengine tayari wapo umoja party na wengine 🍀