Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Fainali tamu sana , ubaya niko porini
Wana huo uwezo wa kufika kwenye five star hotel yangu Nassau Bahamas 50k $ per night?Baada ya match tu, mkishazima taa tu baada ya Lisaa limoja hivi, panyaroad hawa hapa wanavunja dirisha na kusepa na flat screen
Tulisha malizana na wewe una mimba yetuMadrid timu nyepesi Sana kupigika sijui watu wanaangalia Nini Kwa Madrid aisee [emoji28][emoji28]