Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Real madrid siikubali ila anachukua ubingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2070Hivi Arsenal lini mtaingia kwenye record za kushinda hili taji?
Aha bwana ww mbona mbali hivo2070
Wanaangalia royal tour kwanzaKuna tatizo gani mbona wamesogeza dakika 15 mbele?
SawaWanaangalia royal tour kwanza
Ticket zilikuwa zinauzwa pesa kiasi gani?Game itaanza saa 4:15 usiku kutokana na foleni kubwa iliyosababisha watu kuchelewa kuingia uwanjani
Muda umesogezwa tena mpak saa 4:30Game itaanza saa 4:15 usiku kutokana na foleni kubwa iliyosababisha watu kuchelewa kuingia uwanjani
ingekuwa wale majamaa wa mchana sahizi mmoja basi linatimua vumbiMuda umesogezwa tena mpak saa 4:30
Ndio mpaka 4 nanusuWamesogeza tena?????