Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Maagizo ya tff hawana pesa za kuwagharamia safari.Huyu kocha kuendekeza waswahili kutatuponza, miaka yote waswahili walitukwamisha, kwanini hakuwaita diaspora awamu hii, kama timu ndo inacheza hivi
Jamaa la hovyo kabisa, liejitia kiherehere cha kutangaza wakati haliwezi! Mpira umekosa radha kabisa!Limekazana mzinze wakati pameandikwa mzize
Hauna ladha, na ukisha utaona wannaza kunshukuru sijui nani., yaani mkoloni sijui kwanini aliondoka mapema.Jamaa la hovyo kabisa, liejitia kiherehere cha kutangaza wakati haliwezi! Mpira umekosa radha kabisa!
Pole sana na hongera kwa kuiamini starsMkinichania mkeka wangu nyie waswahili sitawaelewa kabisa
Muda- Zanzibar GreatestMudathir Yahaya = Zanzibar Finest
Mohamed Hussein = Tanganyika Finest
Feisal Salum= Tanzania Finest.
tuwekeze kwenye ngono tuu basii tunajichelewesha wenyeweSoka hamuliwezi, ila mkiambiwa muwekeze kwenye michezo mnayoiweza mnakaza fuvu. Mataifa yenye akili yalishatambua yana vipaji gani na ndo walikowekeza, hawahangaiki na soka wasiloliweza.
1.Kenya, Ethiopia na Jamaika - Riadha
2.USA na sasa South Sudan - Basketball
3.South Africa na India - Cricket
Tanzania mnashindwa nini kuwekeza kwenye Boxing ambako mnatisha Afrika yote? Mbona Rashid Matumla na wenzake walishawaletea mikanda mingi ya Africa ila kwenye soka hamjawahi kuleta kombe kubwa? Shida yenu ni nini?
nimebeti goal goal. sasa naona jamaa wanacheza mdako tuu hapaUMEBETI NA KUWAPA Tanganyika?