FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

Taifa stars haina muunganiko😆 anzisheni project ambayo hawa hawatacheza watabaki kwenye vilabu vyao kuzeni madogo special kwa timu ya taifa.
Au badilisha wachezaji wa Yanga wawe wa taifa😅
 
Ila bongo bado sana,hivi Kibu hayupo humu yaani hata hamsha hamsha.Ila Msuva kuachwa kocha alichemka.
 
Back
Top Bottom