Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kuheshimu kazi ya mwenzio vizuri embu kajaribu kuifanya ww.
Alafu eti wanamlinganisha Chama na Aziz Kei.
Hii itawa cost sna, waache waje Phiri atawapigaAwa jamaa taifa tuwafanya mbaya sana wanapenda kuja direct sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wee Chama yupo vizuri. Huwezi mfananisha na AzizAziz kaja kushangaa ndama wa Mayele wkt Chama kaja kucheza kandanda la kimataifa
Mwambie Aziz Ki achukue kalamu na karatasiSimba Oyeeee. Chama kashafanya yake. Tuko juu
Kumchezesha okwa upande wa kushoto ni misuse kiukweli.. Anapata shida kidogo kuchoma ndani, anabaki kupiga chenga za chepe akitegemea spidi, si hatari saana kwa kipa wa wapinzani.. Kama akitokea upande wa kulia, kitaalamu kushoto itakuwa anenda pembeni kupiga v pass au cross tofauti na kulia ataweza kushoto, kucurve na hata kupiga v pass.
Kila la heri mnyama.
Mkuu unapoteza muda wako tu kutoa maelekezo. Pale hamna mtu, tumsubiri ManzokiKibu wakati mwingine anachekesha saana, kwa anaejua mpira anajiuliza huyu vipi, hakui kimchezo, habadiliki.
Ya kwanza ile cross ya moses phiri angekuwepo kwenye position angeweza kufunga
Hii ya pili badala ya kupiga through ball, yeye katurn kapiga pasi nyumbani.. 😂 😂
Kibu wakati mwingine anachekesha saana, kwa anaejua mpira anajiuliza huyu vipi, hakui kimchezo, habadiliki.
Ya kwanza ile cross ya moses phiri angekuwepo kwenye position angeweza kufunga
Hii ya pili badala ya kupiga through ball, yeye katurn kapiga pasi nyumbani.. [emoji23] [emoji23]
Wee Chama yupo vizuri. Huwezi mfananisha na Aziz
Hawa waangola watasababisha leo wanayanga tutukaniwe hadi bibi zetu. Hebu wajikaze asee!