Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee Chama yupo vizuri. Huwezi mfananisha na Aziz
Hamna timu humo!!Umeanza taarabu mapema yote hii
dk 90 zitaamuaHamna timu humo!!
Magoli yake mengi huwa sio ya bahati, unaona kabisa anatuliza ball bila kitete anageuza mchezaji akijileta kipumbavu kisha anaangalia pa kupeleka mpira, magoli yake yote sio mashiti ila huwa anawapeleka mbali kabisa ambako kipa hafiki.Magoli ya tripple C magoli yake ya kiufundi sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hawa waangola watasababisha leo wanayanga tutukaniwe hadi bibi zetu. Hebu wajikaze asee!
Una maanisha nini unavyosema Jihad?Simba wanapaswa wacheze jihad style hii ya mpira hatutafika mbali.
Mpira ni art isee...