Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ni kuuchukua na kuuweka chini, waanze kuutafuta...Wameanza kupiga kwa mbali sasa, wacha wahangaike
Nguvu Moja [emoji881]
Afu kwanza kesho ni shuleni ukizingatia tunawachezaji wenye umri mdogo kama Peter Banda ambao kipindi hiki wanafanya mitihani ya kuhitimu darasa la sabaRefa maliza mpira Bongo mbali,tunataka kurudi
Nadhani tutajifunza kuwa na kikosi chenye backup za maana, assume Kapombe na Zimbwe wote wapo nje (kwa sababu zisizozuilika) kisha mbavu zishikwe na Mwenda&Gadiel aiseeh ni kisanga.Israeli Kama Hawezi Mpiraa awe anawaachia wanao weza
Mmeanza kuwageukaHaya majamaa si ndiyo yalipigwa na Namungo
Nguvu kulukunduKwenye matumizi ya akili kibu huwa hausiki napo
Nashukuru mzee mwenzangu, makasiriko haya. 😂Okrah mkuu
Umeanza taarabu mapema yote hiiGood for you ,ukipata kibonde kitumie.