FT: Agosto 1-3 Simba | CAF Champions League | Estádio 11 de Novembro | 9-10-22

FT: Agosto 1-3 Simba | CAF Champions League | Estádio 11 de Novembro | 9-10-22

Una maanisha nini unavyosema Jihad?

Timu ishapata goli la kuongoza unataka Jihad ili upate nini?

Hapo ch
Una maanisha nini unavyosema Jihad?

Timu ishapata goli la kuongoza unataka Jihad ili upate nini?

Hapo cha msingi ni kushikilia bomba tu

Speed ya Simba leo cjui wameitoa wapi n balaaaaa
 
Good for you ,ukipata kibonde kitumie.
Sasa mbona nyinyi mlishindwa kumtumia yule kibonde HILAL? Maana tunajua mmewekeza pesa nyingi kuliko wao, halafu team yao ni dhaifu tu na wachezaji wake bado wanajitafuta, ukizingatia hakuna team yoyote inayoweza kuwasumbua ukanda wa CECAFA....

IWE MVUA IWE JUA[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magoli yake mengi huwa sio ya bahati, unaona kabisa anatuliza ball bila kitete anageuza mchezaji akijileta kipumbavu kisha anaangalia pa kupeleka mpira, magoli yake yote sio mashiti ila huwa anawapeleka mbali kabisa ambako kipa hafiki.

Kwa waliowahi kucheza ball, magoli ambayo mfungaji anapiga kashuti kadogo halafu kaingie golini huku mnakatazama bila uwezo wakufanya lolote, huwa yanauma sana kuliko mashuti.
Sure sio kama kibudee kibudenga angekua anatulia ana mashuti makali mashuti ya uhakika sema ndo anapaisha
 
Back
Top Bottom