Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Musonda nini hikii
Hana pumvi ya one against one mara nyingi anashindwa battle hata zile tangulia nakuja anashindwa..Dah Musonda nini hikii
Angekuwa Mayele pale, jamaa angepata tabu.Hana pumvi ya one against one mara nyingi anashindwa battle hata zile tangulia nakuja anashindwa..
Sisi umeme umekatwa tangu saa 11 jioni mpaka muda huu CCM woye𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Al Ahly FC🆚Young Africans SC
📆 01.03.2024
🏟 Cairo International
🕖 6PM🇪🇬 7PM🇹🇿
TimuYaWananchi
DaimaMbeleNyumaMwiko
Karibu katika mechi ya sita na ya mwisho ya makundi ligi ya mabingwa Africa ungana nami katika Uzi huu kwa update za mechi hii
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2921581
Kikosi kinachoanza dhidi ya Al Ahly FCView attachment 2921608
Mechi nyingi zikija kama sio kushindwa basi atastop na kurudisha mpira nyuma.Musonda uwezo wake wa 1×1 ni finyu sana.
Tajiri mbahiliIla mwanetu huyu Mo anakera sana
Yah! Waache nchecheto rafiki. 😀
Yaani simba ishauzwa washabiki wamebaki wanakatishwa viuno kwenye nwendo kasi na wanatumwa kuvunja NAZI tu😁😁Mbaya zaidi anasema ameinunua Simba 5years Ago