FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

Visingizio vya kijinga. Uongozi wa Uto na Manager Gamondi walisema nini kabla ya mechi? Au wewe ndiye uliyeamua kuifanyisha mazoezi timu na siyo kutafuta ushindi ili muongoze kundi lenu?
Kula kono la dume hilo wewe Kolokhamsa

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kafuzu au kachungulia?

Simba huwa wanaingia huko kila mwaka.

Makelele yote ya vyura ni kwa sababu wamechungulia tu huko kwa mara ya kwanza 😂😂
Ila wanajua huko ni wasindikizaji tu
Nipe tofauti ya kufuzu na kuchungulia
 
Nipe tofauti ya kufuzu na kuchungulia
Simba kafuzu mara nyingi, Uto wamechungulia kwa mara ya kwanza mwaka huu.

Makelele ya vyura ndiyo yanaleta tofauti ya kufuzu na kuchungulia.

Kama upo timamu utakuwa umenielewa, na kama hujaelewa basi wewe ni 🐸 og.
 
Kwahiyo Ahly alishinda?
 
Kama robo fainali ndiyo mwisho wenu basi hamna ukubwa, ukubwa watapewa wanafika fainali na wanaobeba makombe.
Kwahiyo tunakubaliana Yanga bado ni team ndogo, maana kama huyu aliyefika robo fainali CAFCL mara nyingi bado ni mdogo, vipi Yanga aliyeingia kwa mara ya kwanza kwenye historia yake yote?
 
Endapo tu akipangiwa Asec Mimosa...

Akipangiwa Mamelody au Atletico hatoboi maana hizi timu zipo Strong sana.

Utabiri Wangu
 
Endapo tu akipangiwa Asec Mimosa...

Akipangiwa Mamelody au Atletico hatoboi maana hizi timu zipo Strong sana.

Utabiri Wangu
Mods kwanini mmeunganisha uzi wangu. Inaboa sana
 
INONGA tangu atoke AFCON march fitness yake iko chini ...
Nimemuomba hivyo takribani mechi 3
 
Ingiza ONANA .. defence ya AHLY inahitaji extra minds
 
Tukiwaambia mpunguze kushabikia mipira ya simba na yanga hamuelewi.
 
All the best Young Africans [emoji169][emoji172][emoji169]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…