Mkuu tucheke kwa kiasi, nasi tunakutana nao ujue?Timu kubwa hata kupiga pasi tano ni kipengele [emoji23]
Huwezi jua mkuu unaweza kuta ndio kabeba hirizi ya timukwa kumuanzisha boco tu nimegundua kocha hatuna kocha
Duuh we mzee upoMpaka sasa Simba mumejitahidi.
Niliwaza kumuanzisha Bocco ili Baleke awe plan B au angeanza Phiri napenda sn Baleke akiingia sub km wakipatikana Baleke mwingine simba itakua nzuri sn Bocco mwakani wampe majukumu mengineBocco hakabi wala hana uwezo wa kukaa na mpira, sijui kocha alifikiria nini kuanza na Bocco ilhali mpira anaocheza leo ni wa kutumia counter attack. Kwa aina hii ya mchezo unawezaje kumtegemea Bocco ambaye hata kutuliza mpira ni kazi kwake.?
Pale South Africa Mamelod wamegoma kumuachia kipa wao namba moja wa zamani (Onyango) licha ya kuwa hachezi, nadhani ni kwasababu wanampenda sana ndiomaana analipwa mshahara akiwa benchi. Kama Simba Sc wanampenda sana Bocco, ni vyema wakamlipa mshahara akiwa benchi badala ya kulazisha vitu ambavyo haviwezekani tena.
Utashangaa Bocco anarudi uwanjani.
Inategemea wanekutana na mpinzani ganiHawa al ahly nao Sijui wamekuaje siku hizi
Acha upuuzi waulize Uto wenzekomatatu gani hakuna matuta hapo simba anatoka ikibaki bilabila maana alhaly walishinda mbili huku..
Acha tutoke maana haitakuwa sawa na ambaye hakuingia kabisa.Mnatoka ikibaki hivi hivi
Lakini hawa Al-ahal nawao wanazingua sasa, sijui tatizo nini?..... au ndio tuseme ndio kamati ya ufundi ya Simba inafanya kazi?Timu kubwa hata kupiga pasi tano ni kipengele [emoji23]
Msaada link ya kuangalia kwa simu.
Huwezi jua mkuu unaweza kuta ndio kabeba hirizi ya timu
BOCO NDO BENCHI LA UFUNDI... YE MWENYEWE HIRIZI
Msaada link ya kuangalia kwa simu.
Kuna watu wanajifanya wajuaji sana, wamekariri tu hawajui hata game approachWandugu wana SIMBA wenzangu naomba tusimpangie kocha la kufanya anajitambua na anajua anachokifanya
Sent using Jamii Forums mobile app