We unataka ubishi tuu, simba ina wachezaji gani ? Wa quality ya alhaly, refer Tpmazembe iliyokuwa inachukuwa ubingwa kwa kuwapiga hawa alhaly walikuwa na wachezaji wa aina gani, wachezaji mnaokota wenzenu wanakuza, usajili wa timu za Tanzania kama kamari wakati wenzenu wanchukuwa mtu aliekwisha deliver refer usajili wa alhaly kwa Ali maalol 2016 na luis miq angalia usajili wa mamelord kwa alende.We ndo boya hiyo level Simba atafika lini? Kama sio sasa??
Usenge ni hiyo Sheria ya goli la nyumbani caf wanautaratibu wakifala sana!Hii kila siku tumekufa kiume ni USENGE.....
Bana wee, sisi shida yetu ilikua mtoke huko ili kelele ziishe. Hayo mengine mtajua wenyewe!Wale madomo kaya wa tutafungwa 5???.
VILAZA FC....
Waarabu tumesawazisha ubao... sisi ni jino kwa jino 🤗🤗🤗
Kanuni hizi hizi ndizo zilizowabebz dhidi ya Power DynamosHii umeniita baada au kabla ya matokeo??? Sisis ndo Simbaa Alhyl kakaaaa...sema kanuni zimembeba....
Any way so far sisis ndo wawakilishi wenu mje kutupokea uwanja wa ndege
AahaaaaaNgoja tusubiri jamaa zetu watakavyopigwa nje ndani.
Anzisha timu yako iwe inashinda kila mechi.Hii kila siku tumekufa kiume ni USENGE.....
Yes hatujafungwa km ambavyo wengi walikua wanaombea.Tumetolewa kikanuni
Ndio tulipoanzia kaangalie post za wenzakoUmehamia kwenye mikeka tena
Mwakarobo fc,miaka 5 mnaishia hapo hapo robo halafu mnajidai timu kubwaWale madomo kaya wa tutafungwa 5???.
VILAZA FC....
Ni hatua ya mtoano, simba katolewa na Al Ahly.H2H ya Simba na Al Ahly hakuna mbabe
Wamefungana mara 2 na sare ni 2