We unataka ubishi tuu, simba ina wachezaji gani ? Wa quality ya alhaly, refer Tpmazembe iliyokuwa inachukuwa ubingwa kwa kuwapiga hawa alhaly walikuwa na wachezaji wa aina gani, wachezaji mnaokota wenzenu wanakuza, usajili wa timu za Tanzania kama kamari wakati wenzenu wanchukuwa mtu aliekwisha deliver refer usajili wa alhaly kwa Ali maalol 2016 na luis miq angalia usajili wa mamelord kwa alende.We ndo boya hiyo level Simba atafika lini? Kama sio sasa??