FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

FT: Al Ahly 1-1 Simba SC (Agg, 3-3)| Africa Football League| Simba yaondolewa kwa Goli la Ugenini

Na hakuna goli la ugenini
Goli la ugenini lipo kama kawaida ya mashindano ya CAF ngazi ya vilabu
20231024_140909.jpg
 
Nitakuja na Uzi uongozi WA Simba Unavyozingua kwenye usajili...

MANULA AMEUMIA UNAENDA KULETA AYOUB MDAKAMIPANZI NA KUMUACHA KAKOLANYA BILA SABABU ZA MSINGI.

ALLY SALUM WA NINI NDANI YA SIMBA!!!!!!!!????

Mashabiki ACHENI kuwa wapumbavu uongozi unazingua usajili NYIE mnashangilia tu.

PUMBAVU KABISA.
Utalia sana kipigo kipo palepale
 
ACHENI KUJIFARIJI NA MAMBO YA KIPUMBAFU.

HWEZI UKAENDA VITANI NA GOBOLE MWENZIO ANA KIFARU.
SHAME.

SIMBA LAZIMA AFUNGWE KWA SABABU YA KUSAJILI WACHEZAJI MIZIGO.

1. AYOUB Lakred.
2. ESOMBA ONANA.
3. MOSES PHIRI.
4. AUBIN KRAMO.

Hawa wanafanya kazi KUBWA Sana lakini hawana mchango.

5. SAIDO NTIBAZONKIZA.
6. SADIO KANUTE.
Lia , lia piga kelele kwa nguvu wasikie ila 5 zipo palepale
 
Mechi hii ikiisha nguvu zangu nitaziweka siku ya mechi ya Vilaza FC na hawa miamba...yani nitacheeeka mnooo..maana hawana timu ya kumtoa huyu...
Yes, mechi hii itaisha, lakini nakukumbusha yafuatayo kwa Kiarabu;
1. Moja = Wahid
2. Mbili = aithnayn
3. Tatu = thalatha
4. Nne = 'arbaea
5. Tano = Khamsa
6. Sita = sita
7. Saba = sabea
8. Nane = thamania
9. Tisa = tise
10. Kumi = eashra

Hii mechi itakuwa tamu sana kuisikiliza kwenye chanel ya kiarabu
 
Sijakukataza, umenishangaza dume zima na kengele zako unabonga juu ya njemba nyingine kutwa nzima
Hivi unajua tukifata sheria yako hata haya maeneno yako unayonitolea utaonekana unaniongelea mimi?

Na hoja kuhusu kengele ita bounce back to you na mwisho wa siku utaonekana snitch?
 
AYOUB AU ALLY SALUM NDIO WA KUDAKA MECHI NA ALHALY KWELI????

TUWENI SERIOU WANASIMBA WENZANGU.

Hata akina Inonga, chama, Ngoma KIBU inawakatisha Tamaa.

UNA ZAIDI YA B8 ZA SUPER LEAGUE.
UNAENDA KUSAJILI AYUBU
 
View attachment 2790738
Haijakamilika Mpaka ikamilike.

Leo 24.10.2023 Muda wa saa 11 jioni kwa saa za Africa Mashariki.

Itapigwa Match ya marudiano kati ya hawa mabingwa wa Africa.

Ni Al Ahly ya Misri dhidi ya Simba ya Tanzania.

Ikumbukwe kwenye 1st Leg Iliyopigwa Dar es Salaam 20.10.2023. Timu hizi zilitoka sare ya 2-2.

Tukutane Baadae.

Simba, Nguvu Moja.

Kila la heri Mnyama.

#Nguvumoja#
Mpigwe tuuu
 
Leo ndio mwisho wa ngebe za Simba kujisifia kucheza ligi za madume ya mamba kama Al Ahly na Wydad!

Yaani eti mi nifungue maduka Buza kwa Mpalanger halafu eti nije nijilinganishe utajiri na Bakhressa sijui Rostam wapi na wapi!?

Kiwango Cha Mchezaji mmoja wa Al Ahly ni sawa ukusanye Chama, Saidoo, Baleke, Mzamiru, Kanoute na Ngoma! Tuliona kwa Mkapa Al Ahly walicheza kwa akili tu wakitengeneza nafasi nyingi za kufunga uchawi ukaepusha aibu mbele ya Rais wa Fifa na Wenger huku wenzao kina Kibu wakitumia maguvu na kurukaruka tu bila akili Wala mipango ya kufunga!

Mshahara wa mchezaji mmoja tu wa Al Ahly sawasawa ujumlishe mishahara kumi ya wachezaji wa Simba!

Baada ya Simba kukandwa 5G huko Misri Leo, kifuatacho usiku wa Leo itakuwa ni mgogoro mkubwa utakaozuka Msimbazi na mashabiki kudai kuwa wamegundua Simba ni msindikizaji tu ligi zote na wapo wataolianzisha kuwa kocha hafai na huku mazuzu mbumbumbu wengine wakimtetea!

Ila inajulikana tangu mwanzo mechi za Simba ni mbili tu super cup na Leo wataumaliza mwendo na kubeba kombe la kufa kiume!

Hatutaki lawama mshangao wala makelele ya kuonewa huko Misri wakati msuli wenyewe kiduchu!

Kwenye msafara wa Mamba kenge pia huwa wamo! Leo itathibitika maana ya msemo huu na Simba itarudi kwenye mavumbi yake ya siku zote, hakuna kombe lolote kwa msimu wa tatu, ikumbukwe ngao ya jamii ni mbao tu sio kombe la ligi!

Simba ni underdog yenye makelele makubwa!

Naitakia Al Ahly ushindi wa 5G dhidi ya Simba ili mji utulie kimyaaaa!

Aziz Kiiiiiiiii!! Gooooooool! Goli la tatu! Ni hat trick ya kihistoria, hat trick ya derby ya Dar-es-salaam!
Kufungwa 5 na timu kubwa kama Alhy ni kawaida, hata yanga alishafungwa 5 bila na timu kubwa ya Simba

NB:ukibisha naweka video
 
Back
Top Bottom