Izo hesabu vipi dadaYanga 1- Al hilal 1
Agg 2 kwa 1
Bye byeeeee
Kwani la alihilali uku hakikuhesabiwa?Si nasikia kuna goli la ugenini?
07' Hilal 1-0 Yanga
Mshaliwa bila matFt Al hilal 0-1 young Africans
Hapo kote Yanga anapita? Hakuna tena penalty?Ndio lakini mpaka mmoja amzidi mwenzie kwenye magoli ya ugenini,mfano wakitoka 2-2 au 3-3 Yanga anapita.
wakitoka 0-0 Al hila yangu inapita.
0-0 ipi tena [emoji23][emoji23][emoji23]Ndio lakini mpaka mmoja amzidi mwenzie kwenye magoli ya ugenini,mfano wakitoka 2-2 au 3-3 Yanga anapita.
wakitoka 0-0 Al hila yangu inapita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ooohooooooo kumbe ni simba ndo wanashangilia hivyo jmaniii. Mmekosa kabisa uzalendo naongea huku nimetoa meno
Mwana Lunyasi mwenzetu huyo
Atatuliaje sasa kwa mfanoNabi hatulii pale benchi
0-0 haipo tenaNdio lakini mpaka mmoja amzidi mwenzie kwenye magoli ya ugenini,mfano wakitoka 2-2 au 3-3 Yanga anapita.
wakitoka 0-0 Al hila yangu inapita.
Nabi hatulii pale benchi