Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulieni dawa iwaingie [emoji2][emoji2][emoji2]Usen......geeee sana huu.
Atatuliaje sasa kwa mfano
Bora aingie tu mwenyewe Le ProfesoliNabi hatulii pale benchi
Alikiwa anapewa mbinu za kiufundi za kuwakabili SimbaIbengeeeee
Kuna jamaa aliniambia mtu akicheka wakati mwanaume anavuja jasho ujue ana walakini kwenye njia yake ya haja kubwa.Sijui nacheka nini [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazee wa maneno maneno huwezi waona. Simba sisi ni washabiki wa kweli tunaipenda timu yetu ifungwe tupo ifunge tupoHalafu hatuwaoni kwenye uzi wao...
Sijui wamejificha wapi?
Dk ya 2 mmekojolewaDjuma shabani anajaza mtungi paleeeeee unakuwa nini.......gooooooooooooooooooooo........ni yule yule Fiston kalala Mayele anatetema nyuma ya bukta za Al hilal anawaandikia wananchi bao la kuongoza ni dakika ya 14 kipindi Cha kwanza.