Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#Nguvumoja#Wazee wa maneno maneno huwezi waona. Simba sisi ni washabiki wa kweli tunaipenda timu yetu ifungwe tupo ifunge tupo
SawaUtopolo wanavutishwa pumzi ya moto pale Khartoum. Poleni sana. Mpunguze mdomo sasa!
Kinyongeeeee,muwe mna appreciate the giant mnyama kwenye hizi kaziSawa
yap,wakitoka droo yoyote ya magoli mfano 2-2 au zaidi watakua wanalingana magoli.Hapo kote Yanga anapita? Hakuna tena penalty?
Tulia hapo hapo mkuuu. Nyie nawaamini kwa kambakima.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Senior member halafu unachooooooongaaaaaYanga leo unapigwa Kama Ngoma 🎯
Okey nimekupata mkuuyap,wakitoka droo yoyote ya magoli mfano 2-2 au zaidi watakua wanalingana magoli.
Ila Uto anapita kwa faida ya kupata magoli mengi akiwa kwa mpinzani wake.
wangetoka 0-0 Al hilaly angepita kwakua ana faida ya goli alilopata kwa Nkapa.ingawa kwa Mkapa walilingana magoli walitoka 1-1 ila Al hilal anakua na faida ya kupata goli akiwa nyumbani kwa Uto.
Weka akiba ya manenoTulia hapo hapo mkuuu. Nyie nawaamini kwa kambaki
Tulia uncle 🤣🤣🤣ma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Yaani wangefunga hapo biashara ingekuwa imeisha mapemaaaaDaaah Ali Hilal wamekosa bao la wazi hapa