Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Na wenyewe ni wanamsimbazi. Wengine wana makelele mengi kama debe tupu likipigwa.Tuwe tu wakweli
Haya mashindano yana wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wenyewe ni wanamsimbazi. Wengine wana makelele mengi kama debe tupu likipigwa.Tuwe tu wakweli
Haya mashindano yana wenyewe
😒😒😒 Sasa ndio uniite, mie sio mshabiki wa mpira hataaNational Anthem
Inauma....Inauma lakini Mtazoea[emoji444]
Mwanaume ni kuzoea..[emoji444][emoji444]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kosa la nabi ni kumuwcha Mayele DarBora aingie tu mwenyewe Le Profesoli
leo Nabi na Ki aliyetikisa usajili hamumtaki tena vipi wazee wa back to backma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
Bado ni wabovu shukuruni mmekutana na kibondeKinyongeeeee,muwe mna appreciate the giant mnyama kwenye hizi kazi
kwani wako hotelini muda huu?Kwa kuwa Yanga haijui kujipanga kimkakati ....wahuni wamejaa kwenye hiteli waliyofikia Yanga...wachezaji hawana utulivu....hata maadui wako hotelini...hivyo kabisa...
Bado anatafuna tafuna karangaBado mwarabu hajagonga cha pili huko?
Sasa tena nimekosea wapi jameniiii,si huwa mnafunga hata mkifungwa mbili huwa mnarudisha au hyo huwa ni kwa mechi za ndani tuuu?Weka akiba ya maneno
kama mechi ingeisha kwa 0-0.bado Al hilal wangepita kwa faida ya kupata goli walipokua kwa Mkapa.goli la ugenini.0-0 ipi tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Hongereni naona pepe mnene kafanya kweli sasa mpeni mshahara mnono, mil25 itaoendeza.Alhaaa Alahhh alhaaaa alhhhh lalalalaaaa
Nasikiliza kwa kiarabu kwny kiredio hapa full shangwe yaaniii
Tunapiga come back ya kufa mtu mopira dk 90Sasa tena nimekosea wapi jameniiii,si huwa mnafunga hata mkifungwa mbili huwa mnarudisha au hyo huwa ni kwa mechi za ndani tuuu?
we unampa cheo sjui plivadinyo ..sjui msemaji gani yule kamweka mara maulid kitenge.. tunajipa magundu tu.. kila siku kikao na waandishi.. nyokoo.. simba wenzetu washaachana na hayo mambo ya media.. promo promo wameachana nazo.. wanafukuza mwizi kimya kimya.. sio hawa mara wamtambulishe mchezaji kakaa juu ya gorofa za salamanda pumbavTulia uncle 🤣🤣🤣
Heeeee ww Simba sio level zenu huyo alhal hapiti kwetu huyo. Nyie pambaneni bdala ya kusema simba wamepangiwa vibonde mnpoteza mudaBado ni wabovu shukuruni mmekutana na kibonde