Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaleta siasa kwenye mpira 🚮🚮🚮we unampa cheo sjui plivadinyo ..sjui msemaji gani yule kamweka mara maulid kitenge.. tunajipa magundu tu.. kila siku kikao na waandishi.. nyokoo.. simba wenzetu washaachana na hayo mambo ya media.. promo promo wameachana nazo.. wanafukuza mwizi kimya kimya.. sio hawa mara wamtambulishe mchezaji kakaa juu ya gorofa za salamanda pumbav
Kabisa...nusu mwaka huu mnafika. Hawa utopwinyo naona tahari walishakojolewa kimoja hapaKatisha Mgunda wetu,hana bayaa baba wa watu
Yaani niliomba Man City apoteze. Safi Sana.Tupo na tunatisha.🔥🔥🔥🔥
Hapo wameingia kwenye pattern za waarabuWanamiliki mpira ila hawapress ili was hoot golini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji19][emoji19][emoji19] Sasa ndio uniite, mie sio mshabiki wa mpira hataa
Eneo la kuchezea linatoshahuu uwanja wao mbona mdogo sana hapa kwa mkapa si unaingia mara mbili huu
Pogba aliachwa kama MorrisonMorison anacheza utumbo tu.
Ngoma ya watoto haikeshiYanga mnashindwa wapi kumaliza mechi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa hawajiwezi
Wee angalia tuu mechi mnaweza pindua kapeti 🤣🤣🤣🤣Sitaki utani na wewe😂😂 niacheee
sio sawaTanzia, Tate Mkuu amepata mshtuko wa moyo ametutoka.