Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho ya kigadafiTutapiga Alhilal kama mbuzi aliyekula mazao yetu #MpiraDk90
Ilisemekana eti last season Simba Sc ilifika mbali kwenye mechi za kimataifa kwasababu ya Morisson, hehehehehe[emoji23]Morison anacheza utumbo tu.
TunashindaYanga hwajiamini kabisa ila mechi yao kabisa bao la mapema limewatoa mchezoni
Sema Ben katulia siku hiziIlisemekana eti last season Simba Sc ilifika mbali kwenye mechi za kimataifa kwasababu ya Morisson, hehehehehe[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wa simba ata mkiangalia jua kali fureeesh
Likifungwa goli la pili naenda kulala mazima ila kwa sasa matumaini yapo ..Una roho ya kigadafi
Kweli mmeinvest EFM na radio stations nyingine kibao, bado kwenye magazeti ya michezo ndio mnaupiga mwingi balaa...ma.ma.e nabi na azizi ki wasirudi dar wabaki huko huko somalia sjui sudan.. raisi wa gsm hatukutaki umejaza chawa kibao ofisini ..timu yetu inaninvest kwenye media badala ya kucheza mpira wa malengo. foolish.. kuharibiana siku tu..
redio zipompa Tate Mkuu Daudi Mchambuzi Shadeeya Numbisa Frank Wanjiru ukikaidi utapigwa2 Chukwu emeka mmeona comment ya huyu mdau ?Na wenyewe ni wanamsimbazi. Wengine wana makelele mengi kama debe tupu likipigwa.
Sema kwa saizi naona mnashambuliaLikifungwa goli la mbili naenda kulala mazima ila kwa sasa matumaini yapo ..