Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Pale anafunganga hadi enongaIngekuwa Phiri pale ni goli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale anafunganga hadi enongaIngekuwa Phiri pale ni goli
Heee mbona mapema hivii jamaniLikifungwa goli la pili naenda kulala mazima ila kwa sasa matumaini yapo ..
Wamekimbia wote, subiri wafungeredio zipompa Tate Mkuu Daudi Mchambuzi Shadeeya Numbisa Frank Wanjiru ukikaidi utapigwa2 Chukwu emeka mmeona comment ya huyu mdau ?
Eeh mama tetema. .[emoji23]Mayele ni ms3nge
Toa pasi we unataka ufunge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba mna kelele sana, sitaki hata hiyo ticket yako😂Wee angalia tuu mechi mnaweza pindua kapeti 🤣🤣🤣🤣
Aise na wikend ijayo natoa offer ya ticket ya vip kwako na kwa Kalpana tukaangalie derby pale kwa mkapa
Marehemu alikuwa mkorofi sanaSoka wanalocheza Yanga ni la ubora wa hali ya juu tatizo mpira ni magoli.
redio zipompa Tate Mkuu Daudi Mchambuzi Shadeeya Numbisa Frank Wanjiru ukikaidi utapigwa2 Chukwu emeka mmeona comment ya huyu mdau ?