Dogo nani Yanga?,ntakukanya banzi moja la uso niamshe maralia ukawekewe drip Mloganzila hospital.ohooo shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si nasikia kuna goli la ugenini?
Umemalizia kwa maneno ya huruma nilihisi utasema Vingine ππππSasa watulize mataco wasije wakakung'utwa nyingi
NABI HAJAWAHI KUKUTANA NA CHANGAMOTO HUWA NI MTU WA KUPANIKI SANANabi hatulii pale benchi
Mnooo besty mi nimeacha watu waangalie zao mambo yao updates napata humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaaaani Wanasimba huu muda tulikuwa tunausubiri sana...
Kwa kuwa Yanga haijui kujipanga kimkakati ....wahuni wamejaa kwenye hiteli waliyofikia Yanga...wachezaji hawana utulivu....hata maadui wako hotelini...hivyo kabisa...Mbna mapema hiv mkuu kulikoni ??
Umetoa meno kama mbwa mwoga anaunguruma ππ€π€£Ooohooooooo kumbe ni simba ndo wanashangilia hivyo jmaniii. Mmekosa kabisa uzalendo naongea huku nimetoa meno
Tucheke tuuu best hahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu hatuwaoni kwenye uzi wao...Mnooo besty mi nimeacha watu waangalie zao mambo yao updates napata humu
Ooohooooooo kumbe ni simba ndo wanashangilia hivyo jmaniii. Mmekosa kabisa uzalendo naongea huku nimetoa meno
Umemalizia kwa maneno ya huruma nilihisi utasema Vingine ππππ
Inaitwa Ndoige hyo mwiko lazima ung'oleweNgoma imeanza kupigwa Pah pah pahππ