FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

FT: Al-Hilal 1-0 Yanga (Agg 2-1), Yanga yaondolewa Ligi ya Mabingwa Afrika

Live hapa;


Ninaona kama Yanga amefungashiwa virago mapema sana, hasa baada ya kukubali kutoka sare kwenye uwanja wa nyumbani itakuwa ni vigvumu sana kushindia uwanja wa ugenini.
 
giphy.gif
 
Taifa linahitaji wawakilishi hata kwenye lile kombe la mbuzi kule shirikisho, wajitahidi wafuzu huko nao watapongezwa na Rais.
 
MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anamaliza kipindi cha kwanza
40' Timu zote zimefanya mashambulizi makali kwa kupokezana
37' Mwamnyeto anacheza faulo, inapigwa kuelekea kwa Yanga
36' Yanga wanaendelea kuweka presha langoni mwa wenyeji wao
30' Kasi inaongezeka na Yanga wanaonekana kujiamini
20' Yanga wanafanya shambulizi lakini mpira unatoka nje
15' Kocha wa Al-Hilal, Ibenge anasimama kutoa maelekezo
10' Yanga wanaonesha utulivu na kujipanga
Mohamad Abdulahman anaipatia Al-Hilal bao la kuongoza
3' GOOOOO!
2' Wenyeji wanafika langoni mwa Yanga
Mchezo unaanza
Timu zinaingia uwanjani

View attachment 2389396
Kikosi cha Yanga dhidi ya Al-Hilal katika mchezo wa marudio.
========

Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania na kule Sudan.

Yanga inashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu ya sare ya 1-1 aliyoipata nyumbani pale uwanja wa Mkapa wiki iliyopita.

Je, hii itakuwa mechi ya mwisho kwa Yanga msimu huu kwenye Klabu Bingwa Afrika au anaenda kuvunja rekodi yake kwa kufuzu makundi tangu 1998?

Tutakuwa hapa tukipeana taarifa mubashara. Mechi inaanza saa tatu kamili usiku.
Hiki ndicho kikosi ambacho nilikipendekeza! Imagine hakuna badiliko hata moja.

Hivyo iwapo kitafungwa, basi nitayapokea matokeo kwa mikono miwili 🙏

Na kamwe asitafutwe mchawi.
 
Baada ya mechi

1. "Tumecheza mpira mwingi tumetengeneza nafasi nyingi ila ndio hivyo bahati haikuwa yetu"

2. "Mpira una matokeo matatu lazima tukubali kuwa tumepoteza na sasa nguvu zetu tunahamishia shirikisho"

3. Ni kawaida maana ukiangalia hata kwenye swala la umiliki wa mpira sisi tuliongoza kwa asilimia kubwa ila makosa madogo tuliyoyafanyanwenzetu wakayatumia na kujipatia mabao yaliyowapelekea kuoata ushindi"
 
Back
Top Bottom