Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Wapi nimesema mpira dkk 45Toka lini uliambiwa mpira ni DK 45k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema mpira dkk 45Toka lini uliambiwa mpira ni DK 45k
KubabakoAcha bange utopolo hakuna soka lolote hapo
Wamemtengeneza hivyo, anapenda asifiwe yeye tu. Yani ni bora Team isipate matokeo mazuri ilmradi afunge tu kwake inatosha.Mayele ni ms3nge
Toa pasi we unataka ufunge
Ohooo ohooooKubabako
SI walisema watapindua au basi na ni off Time View attachment 2389433
Ila ukiangalia trend ya game Al Hilal inafungika. Ni Yanga tu washambaMpira una maajabu yake mechi nyeupe kabisa jamaa watapigwa mbili za fasta na kupagawa mazima ( Walisikiaka walevi wakijadiliana)
Kaeani kwa kutulia acheni Pye Pye pyeeWapi nimesema mpira dkk 45
Hiki ndicho kikosi ambacho nilikipendekeza! Imagine hakuna badiliko hata moja.MAPUMZIKO
45' Mwamuzi anamaliza kipindi cha kwanza
40' Timu zote zimefanya mashambulizi makali kwa kupokezana
37' Mwamnyeto anacheza faulo, inapigwa kuelekea kwa Yanga
36' Yanga wanaendelea kuweka presha langoni mwa wenyeji wao
30' Kasi inaongezeka na Yanga wanaonekana kujiamini
20' Yanga wanafanya shambulizi lakini mpira unatoka nje
15' Kocha wa Al-Hilal, Ibenge anasimama kutoa maelekezo
10' Yanga wanaonesha utulivu na kujipanga
Mohamad Abdulahman anaipatia Al-Hilal bao la kuongoza
3' GOOOOO!
2' Wenyeji wanafika langoni mwa Yanga
Mchezo unaanza
Timu zinaingia uwanjani
View attachment 2389396========
Kikosi cha Yanga dhidi ya Al-Hilal katika mchezo wa marudio.
Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania na kule Sudan.
Yanga inashuka dimbani ikiwa na kumbukumbu ya sare ya 1-1 aliyoipata nyumbani pale uwanja wa Mkapa wiki iliyopita.
Je, hii itakuwa mechi ya mwisho kwa Yanga msimu huu kwenye Klabu Bingwa Afrika au anaenda kuvunja rekodi yake kwa kufuzu makundi tangu 1998?
Tutakuwa hapa tukipeana taarifa mubashara. Mechi inaanza saa tatu kamili usiku.
Hahahaaaaa nimecheka mpaka machozi..!!
Hii week utaanzisha nyuzi nyingi mno, natabiri hivyo[emoji23][emoji23]Soka wanalocheza Yanga ni la ubora wa hali ya juu tatizo mpira ni magoli.