zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
atatoa pasi tarehe 23Mayele ni ms3nge
Toa pasi we unataka ufunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atatoa pasi tarehe 23Mayele ni ms3nge
Toa pasi we unataka ufunge
Wamepanua midomo yao na ilivyo mikubwaaaMakolo roho zenu kwatu sasa 🙄🙄😎😎
Nipo sawa mkuu
Hivi mpaka dk hii we nawe unaongea!!??Tupo tunafuatilia kwa umakini mkubwa, huku tukiendelea kuwaamini vijana wetu.
yanga anajua sana, soka safiiii sio wengine hadi waroge
Faida ipo bwana maana tutapata chance ya kuwala warembo wa yanga, kama leo tunaruka ruka na warembo wa simba full kutususia mbususu zaoItakuwa Haina faida, aonyeshe huo mtetemo hapo Sudan
Mtaongea yote leo, Al Hilal anawachinjia nyuma ya shingo huko Sudan[emoji23].yanga anajua sana, soka safiiii sio wengine hadi waroge
Kweli marehem kafa kishujaaTupo tunafuatilia kwa umakini mkubwa, huku tukiendelea kuwaamini vijana wetu.
Mmechakazwa hamuamini ni nn kinatokeaMakolo roho zenu kwatu sasa [emoji849][emoji849][emoji41][emoji41]
HakikaSimba Imeliheshimisha Taifa
Nilijiwekea imani aisee.. najutaMimi binafsi ninajua kabisa hatukatizi. Ndo maana no stress.