Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafanyaje? Yani wamejaza uwanja kutuzidi?Yani Tanzania bado hatujaweza kufikia morale ya mashabiki wa Al Hilal
Hee 😝😝😝Confirmed : MWAMYETO NI MAGUIRE WA BONGO boko lake nusu lizae goli kumbafu kabisa..
Ndio maana kocha wenu aliwapa jina la makima na manyani. Hizo ni slogan za kijinga wakat ukiwa na timu bovu.Cheki kima mmoja huyu
Tunawasubiri, mtatufata 🤣🤣🤣🤣🤣Acha basi mtani Mnashindana Ili iweje? Si mngeigomea CAF.
Wee unadhani mie na akili zangu hizi nitashabikia timu za bongo 🤣🤣🤣We jamaa chama gani? Siwaelewi na National Anthem
Yanga walitaka watufunge
Ni vizuri leo haujaja na sababu za safari[emoji16].Nipo nafuatilia kupitia humu jukwaani. Maana hamchelewi kusema nimekimbia.
OhoooYanga walitaka watufunge
Dakika ya Ngapi Jamani???