FT | Al Merrikh 0-2 Young Africans | CAFCL Group Stage Qualifier | Pele Stadium, Kigali | 16.09.2023

Sio kweli, kuna siku nae alikuwa hafungi.
 
Stupid analysis from amateur
 
Timu haina kwao, haichezi ligi, ni kuifunga ni sawa na kusukuma mlevi!! Ukijisifu kila mtu atakushangaa!
 
Je huo sio ukweli?
Muone huyu nae....
Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!
 
Je huo sio ukweli?

Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!
Sawa boss wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…