Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sio kweli, kuna siku nae alikuwa hafungi.leo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Stupid analysis from amateurleo ndio nimeona umuhimu wa mayele. tulikuwa na magoli 4 au 5 pale, tena bure/bila. maxi angepata mtu wa uhakika kama mayele, ingekuwa safi sana. sasa tunaye mzize ambaye akipata mpira hadi aje ageuke adui ashafika. musonda naye ni fifty fifty sio wa kutegemea saaana. aziz ki nafikiri ana siku na siku. ila mayele alikuwa wa kila siku.
Pasi ya kisigino.Yesssssss
Kazi nzuri ya Aziz Ki [emoji1433][emoji1433]
Mzee wa Ankara Muhasibu. Ile thread uwa nacheka sana.Semaga taratibu
Akikusikia MUHASIBU MTAPISHANA[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
na wewe ndio the most stupid reader. hapo tumeenda sawa ehee!Stupid analysis from amateur
Muone huyu nae....Timu haina kwao, haichezi ligi, ni kuifunga ni sawa na kusukuma mlevi!! Ukijisifu kila mtu atakushjangaa!
Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!Muone huyu nae....
Sawa boss wangu.Je huo sio ukweli?
Timu inacheza huku ikiwaza mabomu yakipigwa nyuymbani unategemea nini?? Timu haishiriki ligi, hapo hakuna match fitness!! Mngefungwatungewacheka lakini mkifunga hakuna la kujisifia!!
Kabisa hii inafaa yaaniKwann tusiongee na Caf wapeleke maombi yanga ikacheze UEFA na wakina Man City PSG ndio saiz zake à
Wale jamaa ni mafundi sana wanajua sanamaxi na aziz ki wamecheza mpira leo hadi nimeona wivu kwanini sio watanzania, natamani tungekuwa na wabongo hata watano tu wenye kiwango kile, tungefika mbali.
Atakae jipendekeza mbele yetu atakula makofi sisi ndo yangaaaaaaMudhadhir leo alipotea sana nadhani angekaa Sure Boy pale kwa sababu ya Uchovu mechi ya Stars...Lomalisa nae kacheza vizuri wacha twende makundi huko tukutane na yeyote...
Yanga ipo sawa sana wacha twende huko makundi waliyokua wanaongea sana tuone nani atatoka mapema..Atakae jipendekeza mbele yetu atakula makofi sisi ndo yangaaaaaa
Kabisa watajua hawajuiYanga ipo sawa sana wacha twende huko makundi waliyokua wanaongea sana tuone nani atatoka mapema..
Imbecilena wewe ndio the most stupid reader. hapo tumeenda sawa ehee!
Sasa wakulaumiwa ni serikali yao kwa kushindwa kuweka hali ya amani uko Sudan. kazi ya Yanga ni kukufuata popote ulipo na kukuchapa tuTimu haina kwao, haichezi ligi, ni kuifunga ni sawa na kusukuma mlevi!! Ukijisifu kila mtu atakushangaa!