Bila shaka unamaanisha mnyama simba, maana ndo wenye makombe mengi ya jumla [emoji41]Kila la heri timu la kwanza kuanzishwa Nchini Tanzania na lenye makombe mengi ya kutosha.
Tafiti!!Bila shaka unamaanisha mnyama simba, maana ndo wenye makombe mengi ya jumla [emoji41]
Wao wanavyojigamba sasa unaweza fikiri wanacheza kombe kuuuubwaaa!!!aka kombe la loosers
Ni 'losers' sio 'loosers'. Andika tu Kiswahili.aka kombe la loosers
Hahaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila lakheri AS Bamako timu yangu tangu nazaliwa.
Real Bamako ni novices kwa yanga, bao mbili au tatu zinawahusu wakachungie ngamiaWale wanaosema Yanga ikifungwa natembea ichi wako wapi leo?
Unaoliwazia furaha yako pekee na wakati nusu ya waTz ni wananchi[emoji617] nusu inayobaki ndio wanagawana hizo timu nyingine. Hamuishiwagi vituko nyieIkiwa Man U atatwaa ubingwa basi itakuwa furaha kuu kwangu ikiwa ubingwa huo utaendana na kipigo kwa Vyura Fc .
Bamako fanya jambo jumapili yangu iwe sawa .
Saa sita nitaenda kunywa pombe ili niwezw kuisikia sauti ya nafsi yangu juu ya hii mechi stay tuned nitakuja na matokeo ya leo .
Sawa naelewa kuwa nusu ya nchi ni wananchi .Unaoliwazia furaha yako pekee na wakati nusu ya waTz ni wananchi[emoji617] nusu inayobaki ndio wanagawana hizo timu nyingine. Hamuishiwagi vituko nyie
Kwa kuwa umeelewa lengo langu basi ujumbe umefika. Hata hiyo usisahau hii: loose is looser than loseNi 'losers' sio 'loosers'. Andika tu Kiswahili.
"Loose is looser than lose."Kwa kuwa umeelewa lengo langu basi ujumbe umefika. Hata hiyo usisahau hii: loose is looser than lose