FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

FT: Asec Mimosas 0 - 0 Simba | CAF CL | Felix Houphouet Boigny Stadium | 23.02.2024

Katika mchezaji mwepesi kumpita Simba ni Kapombe. Kajinga sana sometimes haka kajamaa halafu hakana mbio kabisaa
 
Mechi mnaweza hata kushinda ,toa Kanoute Chama arudi namba kumi Saido kumi na moja,Kibu saba.
 
kuwacheki walipopigwa 5 - 1 na Yanga kwa vile tu ilicheza na Yanga ambao sika lake unaenjoy ukicheki.
huwezi sahau
 

Attachments

  • 1708709286745.jpg
    1708709286745.jpg
    108.3 KB · Views: 1
Hata hao azam w
NBCPL bado sana kuonyeshwa sehemu nyingine tofauti na Azam.

Mwaka ambao Azam alichukua haki ya kurusha ligi kwa miaka 10 pia alikuwa dstv ila ujinga wa wake ni alitaka kurusha mechi za simba vs Yanga tuu hapo ndipo akapigwa na kitu chenye ncha kali na Azam hvy Akachukua nafasi yake kiwepesi.


Startimes wapo clear kuzidi Azam kivipi.? Kumbuka hao Startimes hawafanyi production, sasa huwezi kusema wapo clear zaidi ya Azam wakati hao wote wanapokea video ya aina moja kwenye hizo mechi za CAF zinazochezwa nje ya Tanzania.
Wananunua startime kufanya production hawajashindwa kupitia hd zao za starworld unayeongea nae hapa ni mtu wa production hata wasikudanganye azam awafanyi production Caf naó wananunua wanafanya hapa bongo
 
Back
Top Bottom