FT: ASEC Mimosas 3-0 Simba SC | CAF Confederation Cup | Stade de L' amitie General

watanunua mechi, mwendo wa penat na red cards tu.
 
Mohamed Hussein kafanya kosa kubwa sana la kiulinzi amekiuka misingi ya ukabaji hasa beki wa pembeni kumuachia mpinzani kukupita kiboya na kumruhusu apige cross
 
Mashindano haya yanga kafungwa goli chache sana
 
Unajiuliza hivi hii timu haina kocha ,team hata plan B haina makosa ni yaleyale kila mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…