modavid
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 705
- 628
Amekatwa viwili tuWatu washakata mkia[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekatwa viwili tuWatu washakata mkia[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Gendarmerie alishinda tuu,safari imewakutaDah!...haya matokeo huenda yakaamua hatma ya Simba
Nawewe una amini?[emoji23][emoji23][emoji23]
watanunua mechi, mwendo wa penat na red cards tu.Simba siku zote inasumbua ikiwa kwenye dimba la Mkapa tu! Nje ya uwanja wa Taifa, huwa inakuwa ni timu ya kawaida sana.
Na hata itakaporudi Bongo kuja kucheza mechi za ligi kuu, kuna uwezekano wa kupoteza mechi za kutosha tu za ugenini! Au kuambulia sare, na hivyo kuwapa mwanya Yanga kuchukua ubingwa kirahisi msimu huu. Maana Yanga yenyewe inajipigia nyumbani na ugenini.
Hata Kama haujaisha ndiyo kufanyaje kwa mfanoMpira haujaisha bado
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisikika Mbumbumbu mmoja kutoka MO Arena
Kweli wewe ndondocha mkuuFull time . Asec 2 simba 3
Simba inamtia mtu goli 4 na hapo ndipo CAF itabidi ifanye kikao kifupi kujadili maajabu hayo ikiwezekana mashindano yasitishwe na ubingwa apewe mnyamaFull time . Asec 2 simba 3
Wapi nyie wafugaji 🐄Hata kesho tunatua Mogadishu hatuna siku maalumu
Bora angemwachia yule dogo aliyekuwa anaomba amwachie apigeAmezingua sana. Sisi wengine tulikuwa tumejiandaa kwa 5 - 0! Sasa amesababisha mchezo uendelee, na wakati ulikuwa umeshakwisha tayari.
Na wewe una tatizo la nini?Berkane, Mimosa na USGN timu zote hizo zinatatizo la ulinzi
hatuna kiungo mkabaji mzuri halafu nashangaa try again wachezaji anaotaka kusajili ni vichekeshoBeki zetu ni majipu sana
Hiyo inaendana na ule msemo wa" biashara imani"Simba inamtia mtu goli 4 na hapo ndipo CAF itabidi ifanye kikao kifupi kujadili maajabu hayo ikiwezekana mashindano yasitishwe na ubingwa apewe mnyama