kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Refa anamaliza ball kihuni
Kbs, Si angesubiri Kona ipigwe...kawanusuru Azam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa anamaliza ball kihuni
Uliibetia Simba?
Wewe ndio umekamata zakoTimu inaongoza goli 2 za offside ila mda wote wameshika pumbu
Tutafutie na picha wamama walivyopeleka medali za mabati Ikulu 😄Kama shirikisho ni Kombe la wamama msimu uliopita si kuna wamama waliwakilisha wenzao pale jangwani
Alafu hii ndio kitu nashindwaga kuelewa...waafrica sie kuomba kwingi lakini wadhunhawanaga hayo mambo na kipigo wanatupaNwisho wa mechi wachezaji wanapiga magoti kumshukuru Mungu kwa kujibu maombi yao
Nadhani maombi yalikuwa ni kupunguza idadi ya magoli.
historia nzuri nipe na historia nani kamkanda mwenzake mara nyingi19/07/1977 simba 6 - Utopolo 0
6/05/2012 simba 5 - utopolo 0
12/07/2020 simba 4 - utopolo 1
Kwahiyo wewe unaona Kengold ndo nzuri kuliko Azam?Kwa kweli maana sio kwa ushuzi ule wa performance...kweli foreign player anacheza hivyo😲 thats just a waste of money kwa kweli.
Performance ya azame second half dhidi ya coastal ilikuwa mbovu na leo performance hii sio ya timu kugombania ubingwa
Na kiongozi wao kaoneshwa jukwaani akipiga makofi baada mpira kuishaMwisho wa mechi wachezaji wanapiga magoti kumshukuru Mungu kwa kujibu maombi yao
Nadhani maombi yalikuwa ni kupunguza idadi ya magoli.
mkuu kwa mpira gani, mbona umekimbizwa sana tuGamondi huko aliko kiwewe. Itabidi aanze kuhudhuria mechi zetu kama mwaka juzi ajifunza mpira .
Pitch mbovu sana. Mpira ukipigwa au ukidunda unatifua udongo. Ni kama wanachezea kwenye sakafuUkiambiwa mabilioni yaliyomwagwa hapo utashangaa
Achana nao malimbukeni hao..19/07/1977 simba 6 - Utopolo 0
6/05/2012 simba 5 - utopolo 0
12/07/2020 simba 4 - utopolo 1
Huyu Sasii ni kolo wahed leo kawanyonga Azam magoli ya offside na huu ni mwendelezo wake alipoishia derby ya kariakoo iliyopita alipopunguza magoli ya Yanga. Yanga never ever allow huyu Sasii kuchezeshwa nae!!Magoli yote ni offside🚮 refa kaharibu mchezo
Sasa ambitions za kengold na azam ni sawa wewe?Kwahiyo wewe unaona Kengold ndo nzuri kuliko Azam?
Azam wamejitahidi. Walikuwa wale 3 au 4.
Hakuna timu ya kuifunga Simba huu mwaka kwenye ligi mark my words.
Magoli yote ni offside🚮 refa kaharibu mchezo
Hakuna timu ya kuifunga Simba wakati alishafungwa tarehe 8 mwezi wa naneKwahiyo wewe unaona Kengold ndo nzuri kuliko Azam?
Azam wamejitahidi. Walikuwa wale 3 au 4.
Hakuna timu ya kuifunga Simba huu mwaka kwenye ligi mark my words.
Hapa tunaongelea vipigo vitakatifu ambavyo mlitengeneza mpk mabango..iyo itakua historia mpya
historia inasema hivi yanga kamkanda mara nyingi nyau
Siyo ikulu tu hadi bungeniTutafutie na picha wamama walivyopeleka medali za mabati Ikulu 😄