Sport ladyy
JF-Expert Member
- May 9, 2024
- 263
- 524
Wa mbuga ya bonde la msimbazi πIla m mnyama π
Umemuonaπ€£π€£π€£
Nataka niwajue ni kina nani wanampondaga Freddy.Fred
Relax mambo mazuri yanakujaWa mbuga ya bonde la msimbazi π
Mafuriko mmepona? Subirini muone mafuriko ya mvua ya magoli
Yaani leo kununua mechi ili usiikose nafasi ya 2 umeshasahau 7-2π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba mjikusanyee tafadhariiiii. Muwe hapa.
Shukrani sana MtaniWatani agizeni moja baridi kwa mangi nishalipiaπ₯°
Ni vichekesho kwakkkkkkweelliii! Wanavojipa moyo sasa!Ila hongereniiiiiiiiiii ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
View attachment 2986091
Benchika alikua anaua vipaji vya hao madogo..kuna watu wanataka kumfungulia kesi..Hivi hawa wachezaji wa Simba nawaona wageni walikua wap siku zote au mambo ya mzungu
maiti kamkaba muoshaji kweli ushirikina upoView attachment 2986090
π€£π€£π€£π€£π€£π€£