Halafu wewe unajua kuwakera mikia πLolote baya liwapate woteπ€£π€£π€£
Inaandikwa hivi, 7mbwamaskini simbwa π
Derby! Pop
Hakuna derby hapo ni kubalance mambo mechi ingechezwa Chamazi tu haina pressure yoyoteDerby! Popularity
Simba Tukishinda game zote 6 tulizonazoMambo muhimu kuelekea mechi ya leo.
1) Kama mechi ya leo itaisha kwa sare au kwa Simba kushinda ni wazi Yanga kapewa ruksa ya kutangaza ubingwa kwenye mechi inayofuata dhidi ya Mtibwa. Yaani kwa maana nyingine Yanga atahitaji apate sare mechi tatu tu kuwa bingwa.
Kwahiyo kwa akili yako unafikiria ni timu zipi mbili za kumfunga Yanga? Unaota vitu visivyowezekana, amka usingizini.Simba Tukishinda game zote 6 tulizonazo
Tuna Point 71.
Uto akipoteza mbili na droo mbili anakuwa na point 70.
Azam akidroo moja na kushinda zote anakuwa na point 71.
Uto Ubingwa bado.
Utaamuliwa mechi ya mwisho.
Mtibwa 1 - 1 Yanga.Kwahiyo kwa akili yako unafikiria ni timu zipi mbili za kumfunga Yanga? Unaota vitu visivyowezekana, amka usingizini.