permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Azam tukutane jukwaa kubwa, leo ni kujipigia tu.
HahahaqaaaNimecheka sana
League ipi wakati Kuna AFL nA CAFCL na Simba tayari Kaqualify AFLHili timu lina hati hati ya kutokucheza CAF Champion league.
Hii game Azam ni kama fainali kwake, ashinde mwakani ashiriki club bingwa.Azam pigeni hawa mbwa ili mjihakikishie nafasi ya pili
CAFCL.League ipi wakati Kuna AFL nA CAFCL na Simba tayari Kaqualify AFL
Hahaha njoo umshuhudie Kuzaliwa upya Kwa vijana WA simbaSITAKI..!
Wewe ni muongomuongoHahaha njoo umshuhudie Kuzaliwa upya Kwa vijana WA simba
We Unahisi Simba Hawezi kuchukua Ubingwa au Kuwa Nafasi ya Pili???CAFCL.