SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Pamoja na hayo ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na hayo ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pamoja na hayo Simba ni timu kubwa africa yote
Hata man city alifungwa liverpool
Simba nguvu 1
Teteteteee teteteteeeeh yani ukimuona tuu unajua leo .....kazi kazi [emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba huyu hapaaaaaaaa
[emoji23]View attachment 2399754
Aliependekeza Kyombo aanze ndo katuletea maumivu haya ya leoTulia hamna cha maji kujitenga na mafuta Yanga bado ni wabovu tuu msikilizeni mwenye akili sunday manara msishupaze shingo na hizo un beaten zenu mkakalie moto kwa waarabu
Labda mnyama kitimotoNaziona goli 2 mnyama anashinda
Uto mwenzako huyo.Hujui mpira ivi ukiangalia kuna mchezaji gani simba anapata number azam?
Tumekuja rasmi nduguWale waliokuwa wanasema Simba atafungwa na Azam kwasababu ei Yanga alipata sare kwa tabu ebu njooni mjishike ujinga
Ila Kyombo bado ni mzuri wampe nafasi ajiamini sio kumtoa benchi kunamfanya akose kujiamini. Unaona kabisa hata uchezaji wake akitulia ni bonge la mchezaji.
Boko amechoka aisee ila ni mvp wa wakati wote. Atabaki kwenye kumbukumbuHata Boko Haram ni mzuri na mzoefu ukumbuke
au mmepewa bahashaSina cha kusema best si uliona niko kimyaaa? Yani magoli ya wazi kyombo amekosa tumlaumu nani sasa
Hatufanyagi huo ujingaau mmepewa bahasha
Boko amechoka aisee ila ni mvp wa wakati wote. Atabaki kwenye kumbukumbu