[emoji1787] ndo hivo mkuu no way[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua lengo la Azam kuanzishwa?,
Aliyekuambia Azam inahitaji ubingwa ni nani?.
Kuanzia leo tambua wenzako wanacheza wasishuke daraja tu, hayo mengine ya kwenu.
Alooo .. siku nyingi sijanywa ngoja nimehisi kiu ghafla... [emoji2]Nakuelewa.
mi niko bar nakunywa bia
Ataenda Simba yule Azam ilikua njia ya kutokea tu Yanga, walimkazia kwakua wasingekubali aende kule directDK 88'
Azam 1 - 3 Namungo.