FT: Azam FC 1 - 3 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 27.10.2023

FT: Azam FC 1 - 3 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 27.10.2023

Azam wanajua kutukazia sis tu
 
Dk 71'
Azam 1 - 3 Namungo.
 
Dk 76
Azam 1 - 3 Namungo.

Namungo wako hoi
 
Boy balls wanarudisha mipira uwanjani ndani ya sekunde
 
Kukamia mechi moja sio jambo zuri kwa timu inayojitambua, unatakiwa uweke nguvu kwenye mechi zote 30 za ligi ili utoboe na sio kuchagua mechi na kutumia nguvu kubwa kupita kiasi ukasahau kwamba Kuna mchezo mwingine mbele yako Tena unaucheza ndani ya siku 3!

Azam walimwaga jasho lote kwenye mechi ya yanga, wakacheza Kama vile akuna kesho nyingine, matokeo yake wanaadhibiwa vikali na NAMUNGO!

Wachezaji wao Wana fatique kubwa sana yaani wako unga vibaya sana, unakamia mechi moja na unafungwa unapoteza point 3, mechi inayofata unapoteza Tena point 3 ambazo ungetumia akili ungezipata!

YANGA nao walikuwa na fatique lakini utimamu wao wa kimwili umewasaidia PAKUBWA ashukuriwe kocha wa viungo anafanya kazi yake ipasavyo ingekuwa timu nyingine kucheza mechi 2 ngumu ndani ya siku 4 isingetoboa!

Sasa Azam wameisoma namba na funzo wamelipata
 
Namungo wanajitahidi kupoteza muda
 
Unajua lengo la Azam kuanzishwa?,

Aliyekuambia Azam inahitaji ubingwa ni nani?.

Kuanzia leo tambua wenzako wanacheza wasishuke daraja tu, hayo mengine ya kwenu.
 
Back
Top Bottom