Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Azam ni tatizo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli pesa sio kila kitu kwenye maisha zaidi ya 'furaha na amani nafsini mwako' .Feitoto amekosea hesabu za maisha, pesa siyo kila kitu katika maisha.
Jemedali huyu huyu binti Kazumari? Mpira hautaki watu wanaojifanya wajuwaji wakati ni tutusa tu.Bakhresa alibugi sana hapa...
Nadhani akina Jemedali warudi kwenye timu.
Pia Azam watafute Coach.
AZAM HOVYO MNO
Sio kweli, ni fatigue wametoka kucheza mechi ngumu siku chache zilizopitaTusifichane wachezaji Hawa mtaki Kocha wanamgomo
Sasa mkuu ndio nn,Sio kweli, ni fatigue wametoka kucheza mechi ngumu siku chache zilizopita
Anajuta, huu ndio ukweli, hakuna mchezaji professional asiyetaka platform ya kuonekana kimataifa.Ni kweli pesa sio kila kitu kwenye maisha zaidi ya 'furaha na amani nafsini mwako' .
Huenda Fei yupo sawa kwa mtazamo na maamuzi yake.
SijakuelewaSasa mkuu ndio nn,
Mechi 2 straight analoosecamera zina mmulika sana Fei toto
Dah acha natype uku nacheki soccer, Ngoja liishe mzeeSijakuelewa