Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii team ya Azam ya kupiga na kitu kizito ife kabisa.hiyoo imelala azam kashapoteza point tatu.
Utabiri wa kitopolo huu😁😁kesho simba nae anapoteza point.
KabisaaWatuachie nafasi
Kama kawaida yao...Wakikutana na nyie watafufuka ngoja utaona [emoji28]
Utamuona siku mkicheza naoSi nasikia kuna mchezaji aliekua Raja au wydad humo?.
Usajili kafanya bosi mwenyewe YusufFukuza huyo CEO wa AZAM amepiga Pesa team inahangaika tu
Ukiona manyoa ujue kaliwaaaMakampuni ya betting yanaharibu sana Mpira. Hapo ni ama pesa imetembea kwa wachezaji au kocha au wamebeti. SHUWAINI.
TangaHivi tokea Feisali ajipigie Kitayose,
Ameshafunga tena?
Nyie si ndio mlikuwa washauri wake wakuu kuwa agome kubaki Yanga na hela mkamchangia aende CAS?Bakhresa aachane na timu.
Feisal nampa pole, atastaafu mapema mno