Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme hivyo ndugu yangu,Pacome ni very potential player.Namuombea apone haraka,hata hivyo kama Kuna mvchezo mchafu dhidi ya Yanga,kisa Kuna Mamelod,aisee,uzalendo hapo utakua hakuna.Nilijua tu pacome ataumizwa,hakutakiwa kucheza Leo,jeraha lile mamelod hachezi
Hali tete majirani [emoji23][emoji23]Second half [emoji113]
Wewe umekuwa wa 3 mwenye akili pale Matopeni. Vichwa box waliobaki watakwambia bado wana kikasi kipana Cha kumpiga Mamelodi.Hata kama, lazima kuna key players wawili watatu huwa hawatakiwi kukosekana mechi muhimu
Ndipo alipokua anacheza kabla ya pacome kutoka, sa ivi amehamia namba 7Ulivyoona mzize kakaaa centre?
Hiyo faulo hapo na yellow,huo mpira mzize kaupokea akiwa center?Ndipo alipokua anacheza kabla ya pacome kutoka, sa ivi amehamia namba 7
Goti kucheza vile ni mwezi mzeeUsiseme hivyo ndugu yangu,Pacome ni very potential player.Namuombea apone haraka,hata hivyo kama Kuna mvchezo mchafu dhidi ya Yanga,kisa Kuna Mamelod,aisee,uzalendo hapo utakua hakuna.
Nini ambacho huelewi, mzize kabla ya pacome kutoka alikua anacheza wapi? Na baada ya guede kuingia unaona anacheza wapi?Hiyo faulo hapo na yellow,huo mpira mzize kaupokea akiwa center?
🐸 Jipe moyo 🐸jipe moyo 😂Hata makolo walijifanya kurudisha goal
Mwisho wakala [emoji112][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tu pacome ataumizwa,hakutakiwa kucheza Leo,jeraha lile mamelod hachezi
jidanganyeAzam wakitulia wanashinda hii mechi. Yanga leo form yao haipo vizuri kama siku zote
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app