zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
mwenzako anaujua mziki wa yanga ndo anapoza mpira wewe wasema anajifungaSijawahi kuona timu inayopoozesha mpira inashinda. Azam wanjifunga wenyewe mechi hii.
afunguke apigwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenzako anaujua mziki wa yanga ndo anapoza mpira wewe wasema anajifungaSijawahi kuona timu inayopoozesha mpira inashinda. Azam wanjifunga wenyewe mechi hii.
Huenda wameona hawa Yanga si wa kufunguka tu kushambulia bila mipango. Watafunga nyingi.Sijawahi kuona timu inayopoozesha mpira inashinda. Azam wanjifunga wenyewe mechi hii.
Ndio katoka kwenye fungate.. nguvu zote zimeishia hukoHuyu Bajana kaoa Tanga nini?
Nani kashinda mana wengine tuko chikobilenkoba chai togwa kitafunio peraLa tatu
hatariiiiLa tatu
taratibu utakuja kubali mziki wa mabingwFarid Mussa
Kwa hiyo hata nyinyi mlipofungwa na hao Azam pia mlipenda!!!Hatima ya hii mechi ipo mikononi mwa Azam
Siangalii mechi ya kipindi cha pili ninau bize ila Azam wakifungwa wamependa
Aziz K kapiga ile mishuti yake kipa akatema ikamaliziwa.Nani kashinda mana wengine tuko chikobilenkoba chai togwa kitafunio pera
yamekua hayo tena si mlimuita mdaka risasiAzam Watafute Kipa Mwingine