Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu wapokee waone unyama unyama safari hii kimeumana ila wakitolewa group stage kama kawaida wataanza.Yanga mwaka huu hawapokei wageni?
Mpira hauki hivyo, ukikosea unaadhibiwa tuDaah yani watu wanashanglia East Africa tunavyozalilika
Kabisaa hawa Raja sio mchezoSimba inabidi wakienda kwa Raja wacheze kwa tahadhari
Mmeanza ; jumapili naomba utopolo mfungwe goli 1000Daah yani watu wanashanglia East Africa tunavyozalilika
Nakaa kufanana na utopolo?tuheshimiane kijanaMmeanza ; jumapili naomba utopolo mfungwe goli 1000
Sasa mrembo mzima kua kolo si aibu hiiNakaa kufanana na utopolo?tuheshimiane kijana
Na kuna manne walibishaYanga walikula 6-0 hapo mwaka 1998
Unayasema ya 1998 wakati juzi tu ww mechi mbili ulifungwa goal 10?al ahly+as vitandugu yangu tulia kimya... yanga walimiminiwa zege la 6-0 (1998)
Unaumwa weweSasa mrembo mzima kua kolo si aibu hii
We juzi tu umepigwa magoli kumi mechi mbili umesahau?na ukapakatwa na Aziz key kwa mkapa usijisahaulisheYanga 0-2 Vipers
Raja 4-0 Vipers
Logically
Raja 8-0 Yanga
Wanaoshangilia ni dunduka wenzakoDaah yani watu wanashanglia East Africa tunavyozalilika
Acha wapigwe,wangemtoa Manzoki kwa Simba alafu Manzoki akiwa Simba akawagonga magoli ya kutosha hao North Africa faida si ingebaki huku ukanda wetu.Daah yani watu wanashanglia East Africa tunavyozalilika