lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Haikua yanga ,ila ni Simba na Ismailia ya misri.Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Mayele kwangu namchukulia tofauti na wewe unavyo mchukulia.Kijana unamkubali sana Mayele The King
Atakuwa anaangalia Raja Vs Al AhlyUnaangalia mpira gani wewe?[emoji23]
Tulia Kwanza Kwanza watu watatapika pilau [emoji2]Mm nasubiri aingie abdulrazeq aldahr. Mechi imeisha hii [emoji23]
Una kitu Mac usikilizweNilisema kabla hata mechi haijaanza kwakua nimeshamsoma sana huyo jamaa, unless Phiri asiwe vizuri kimwili ila anastahili kuwa anaanza kuliko Saidoo.
Au wanamuogopa kwasababu ya umri? Hii game inatakiwa walau tutoke na goal tatu, kwa upuuzi wa huyo jamaa sidhani kama kuna kitu cha maana tutafanya.
Hawa sio Raja ndugu.Kipindi cha pili Raja wanakuwa wabaya sana ,Simba wasiruhusu wasogelee lango .
Unataka kipimo gani?simba hiki si kipimo bora kwetu
sio yanga, ni simba dhidi ya timu ya misri (sikumbuki vizuri kama ilikua ni zamaleki au ismaely)....... ngoma ilipigwa dimba la uhuru, half time haijafika simba wanaongoza 2-0 immanuel gabriel alitakata vibaya sana siku ile,Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Mimi hata wanikatae na wanipige Morroco ni moja Kati ya nchi ninazozipenda hapa Africa ,nikipata hela panapo majaaliwa nitafanya utalii hapo mpaka jezi yao nimenunua.wamoroco walishasema wao sio waafrica other wise itakua ni kujipendekeza😂😅
Utopolo haijawahi kufunga mwarabu goli 3Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
CAF huwa wanakaushia ujinga mwingi wa waarabu wenzao. Sasa Simba wanahamia goli lile, watawasha halafu kipa haoni mpira. Nakumbuka kuna timu ya Algeria kwenye hatua ya makundi walipata goli kwa njia hiyo walipocheza na AS Vita.Moshi wa fataki za mashabiki wa Wydad
Hapana Mechi ilikua ya Simba na Ismailia pale shamba la bibi, Simba wakaleta mvua, wakawa wanaupiga mwingi hatari Joseph Kaniki striker wa Simba akawa anabetua mpira anatandika mashuti.Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share...
Hawa tuwachape hata bao 4, na of course inawezekanaJamaa wanacheza kama Waarabu wowote wale game za ugenini...
Wanasubiria makosa wakuadhibu...
Anakeraaa walivyofungwa karudi kubadili madaWe nae unajikuta unawajua sana Wydad kuliko wote humu jukwaani, unaonekana juha tu.
Tulia uangalie mpira, punguza POLIMILAI, kama jinsi ambavyo Zungu aliwashauri.
Huyo ni wakipindi cha pili Super sub na mzuri zaidi akicheza kama diamond midfielder akifanya building kuanzia juu akishirikiana na Sadam Hussein.Mm nasubiri aingie abdulrazeq aldahr. Mechi imeisha hii 😂
Moshi mwingi janja ya mashabiki wa wydad kuwasha smoke bombs ili game iahirishwe, wamestukiwa na lazima watapigwa faini na CAFHii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Eti Raja [emoji23]Unaangalia mpira gani wewe?[emoji23]
Huoni kama wamejaza viungo mkuu??Pamoja na goli bado hatuchezi vizuri sana hasa eneo la kiungoooo
Mm nasubiri aingie abdulrazeq aldahr. Mechi imeisha hii [emoji23]