FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....

Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Haikua yanga ,ila ni Simba na Ismailia ya misri.
 
Nilisema kabla hata mechi haijaanza kwakua nimeshamsoma sana huyo jamaa, unless Phiri asiwe vizuri kimwili ila anastahili kuwa anaanza kuliko Saidoo.

Au wanamuogopa kwasababu ya umri? Hii game inatakiwa walau tutoke na goal tatu, kwa upuuzi wa huyo jamaa sidhani kama kuna kitu cha maana tutafanya.
Una kitu Mac usikilizwe
 
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....

Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
sio yanga, ni simba dhidi ya timu ya misri (sikumbuki vizuri kama ilikua ni zamaleki au ismaely)....... ngoma ilipigwa dimba la uhuru, half time haijafika simba wanaongoza 2-0 immanuel gabriel alitakata vibaya sana siku ile,

kesho yake simba alishinda 1-0, akaenda kutolewa misri,................
 
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....

Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Utopolo haijawahi kufunga mwarabu goli 3
 
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share...
Hapana Mechi ilikua ya Simba na Ismailia pale shamba la bibi, Simba wakaleta mvua, wakawa wanaupiga mwingi hatari Joseph Kaniki striker wa Simba akawa anabetua mpira anatandika mashuti.
Mpaka mpira unasimamishwa kutokana na maji kujaa uwanjani Simba walikua wakiongoza 2-0.
Mvua ilikua ikiendelea kunyesha mwamuzi aka maliza mpira, Ngoma ika anza upya Siku ya pili.
Simba wakafanikiwa kushinda 1-0 na kutolewa kwenye mashindano.
 
We nae unajikuta unawajua sana Wydad kuliko wote humu jukwaani, unaonekana juha tu.

Tulia uangalie mpira, punguza POLIMILAI, kama jinsi ambavyo Zungu aliwashauri.
Anakeraaa walivyofungwa karudi kubadili mada
 
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....

Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Moshi mwingi janja ya mashabiki wa wydad kuwasha smoke bombs ili game iahirishwe, wamestukiwa na lazima watapigwa faini na CAF
 
Back
Top Bottom