Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuaibika kupo palepalesimba wasituaibishe manaa nafikiri wanaweza kuaribu idd hawa farasi
Amka utajikojolea uko ndotoniSIMBA 5- 0 WAYDADY
Amka utajikojolea uko ndotoni
Kumbe wewe hua sio wa Dasilamu kama mimiMvua inanyesha huko kwenu daslamu?
Ee ndugu yangu...mimi niko huku makao makuu ya nchiKumbe wewe hua sio wa Dasilamu kama mimi
Na jina kabadiliMzee wa Bwanga umekimbia uzi wa simulizi
Kwani we upo wapi madam?Mvua inanyesha huko kwenu daslamu?
Mkuu dakika 90 tupo kwenye box lao la kuotea alitoe wapiWydad hapati hata lakuotea.
Unaambiwa kilichowapa kaizer chief mwaka juzi ndo kitawakuta hawa waarabu koko, yaani dakika 90 zote bila wao kuisogelea 18 yetu, famasiala uto hawa.Mkuu dakika 90 tupo kwenye box lao la kuotea alitoe wapi