FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Mzee wa Bwanga umekimbia uzi wa simulizi
Sijakimbia mkuu, nipo naweka mambo yangu sawa, huenda kuanzia kesho alfajiri naweza kuwa free na nitaendelea kuishusha mpaka mwisho, uvumilivu tafadhale ndugu.
 
Naona hujaitakia Wydad ushindi kama ulivyozoea kwenye kila timu inayocheza na Simba

Hiyo inaashiria umeyazingatia maneno ya Manara umeamua uchukue caution mapema
Utakuwa umechanganya madesa. Sina utaratibu wa kuzitakia ushindi timu za nje, dhidi ya timu zetu za ndani. Mimi naamini katika matokeo ya ndani ya uwanja.

Atakayecheza vizuri, na kwa nidhamu; ashinde.
 
Leo ni bakora tatu bila majibu Simba itapokea jua kama lote uchawi umedunda!! Labda Simba iendelee na Dili zake za kuvizia timu pinzani hawajajipanga na kuanzisha mpira bila filimbi ya mwamuzi!!

Refa Wa Leo ni mwanaume!! bahasha haipokelewi!

Makolo mtamkoma Leo mmetaka ukubwa msio nao huzuni inarudi upya Leo ushindi wa kuivizia Yanga Leo hatutazungumza tena stori kubwa itakuwa ni jinsi waarabu wanavyopiga soka la kitabuni na magoli watakayoipiga Simba kwa Mkapa!

Naitakia Yanga ushindi huko Naija!
kumbe yanga wapo niger na si nigeria😄😄😄😄😄😄😄
 
Inatosha[emoji22][emoji22][emoji22]
182191-sports-football-club-afrique-maroc-wydad-athletic-club.gif
 
ukimkaba Baleke Kibu anakufunga.ukimkaba Chama Inonga anakufunga,ukimkaba Ntibazonkiza Sakho anakuwashaa.ebwana wee patamu hapo.

Simba nguvu moja.
 
Back
Top Bottom